Africa’s rise has consistently been truncated by repressive governance, large-scale centralised government, extractive institutions, and headstrong leaders who see politics as an avenue to harvest their loot by hook or crook. Long before Covid-19 and the Russia- Ukraine war the …
Empowering women is an essential pre-requisite in promoting economic freedom and growth of the country as women play a substantial role in the development and in moving the country towards progress. The World Bank’s latest analysis of Tanzania posited that …
Globalization and trade are two sides of the same coin. Globalization may be explained the as the extension of trade, commerce, and culture of an economy across different nations. In economic terms, globalization may be explained as the state of …
WAZIRI wa. Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dkt. Ashatu Kijaji, amekishauri Kiwanda cha Kioo Limited kuendelea kuzalisha bidhaa zenye ubora kwa ajili ya Soko Huru la Biashara Barani Afrika (AfCFTA). Aidha, alikishauri kiwanda hicho kuzalisha bidhaa za kioo zitakazotumika kama vifungashio …
SERIKALI imetangaza kuanzia Julai Mosi mwaka huu itaan- za kupeleka bidhaa 10 katika Soko Huru la Biashara Afrika amba- lo Tanzania ni mwa wanachama. Akizungumza jana wakati wa ki- kao na Shirikisho la Wenye Viwanda Nchini (CTI) jijini Dar es …
MACHI 21,2018 bara la Afrika liliandika historia mpya kufuatia viongozi 44 wa nchi za Afrika waliohudhuria Kikao Kisicho cha kawaida cha viongozi wa Afrika (Extraordinary Summit) kusaini mkataba utakaoruhusu kufanyika kwa biashara huru barani humu (Intra-African Free Trade). Kusainiwa huku …
Na Penina Malundo BIASHARA ni shughuli au mchakato wa kununua na kuuza mali au vitu na inaweza kufanywa na mtu binafsi au kwa ushirikiano au na jamii au nchi kwa jumla. Takwimu zinaonyesha kuwa asilimia 80 ya biashara na kampuni …
“You do not stand alone against confiscation.” We, the undersigned, declare our solidarity with the people of South Africa, whose property rights are now threatened by the South African state. The Free Market Foundation (FMF), Property Rights Alliance (PRA), and …
Mkurugenzi wa taasisi ya Liberty Sparks , ndugu Evans Exaud alikutana na kuongoza kikao cha kikosi kazi kilichofanyika mtandaoni Julai 21 2022. Kikao kiliwakutanisha washiriki wa kikosi kazi ambao pia ni wakurugenzi wa sera na wakurugenzi watendaji katika taasisi mbalimbali …
Katika kuendeleza jitahada za kuchangia kuleta jamii huru na yenye mafanikio na kuhakikisha umaskini unapungua kwa Kasi, Liberty Sparks kupitia mradi wa cross border trade, chini ya kampeni ja ujirani mwema, imefanikiwa kuendelea kutoa elimu na kufanya tafiti nchini Tanzania. …