Have any question?
+255 736 164 141
[email protected]
RegisterLogin
DONATE
  • About Us
    • Our Story
    • What we do
    • Our People
    • Jobs & Internships
    • Annual Reports & Financials
    • FAQs
    • Contact
  • Projects
  • Training
    • Overview
    • Certifications
    • Upcoming Courses
    • Think Tank Shark Tank
    • FAQs
  • Grants + Awards
  • Forums
  • About Us
    • Our Story
    • What we do
    • Our People
    • Jobs & Internships
    • Annual Reports & Financials
    • FAQs
    • Contact
  • Projects
  • Training
    • Overview
    • Certifications
    • Upcoming Courses
    • Think Tank Shark Tank
    • FAQs
  • Grants + Awards
  • Forums
  • News+Analysis
  • Media
    • Books
    • Videos
    • Champions of Change
  • Events
  • Shop
  • Support us
  • News+Analysis
  • Media
    • Books
    • Videos
    • Champions of Change
  • Events
  • Shop
  • Support us

News

Bidhaa 10 kupelekwa soko huru la biashara Afrika

  • Posted by Penina Yohana
  • Categories News
  • Date February 14, 2023
  • Comments 0 comment

SERIKALI imetangaza kuanzia Julai Mosi mwaka huu itaan- za kupeleka bidhaa 10 katika Soko Huru la Biashara Afrika amba- lo Tanzania ni mwa wanachama. Akizungumza jana wakati wa ki- kao na Shirikisho la Wenye Viwanda Nchini (CTI) jijini Dar es Salaam, Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dk. Ashatu Kijaji, alisema Tanzania ni miongoni mwa nchi saba za mwanzo zilizopewa kipaumbele cha kupeleka bidhaa kwenye soko hilo na kuwataka wafanyabiashara kuchangamkia fursa hiyo.«Tumeshakutana Januari na jana ni kikao chetu cha tatu kukutana na wadau wazalishaji wa viwanda na wafanyabiashara kuelimishanakuhusu kinachohitajika kwenye eneo huru la biashara Afrika.

“Tayari tumeshapata bidhaa ya kwanza itakayotangulia ambayo ni kahawa na hatutapeleka ikiwa ghafi, tutapeleka iliyokwishachakatwa,” al-isema Dkt. Kijai. Waziri Kijaji alitaja bidhaanyingine itakayopelekwa kwenye soko hilo kuwa ni marumaru zinazozalishwa hapa nchini na hadi sasa tayari Ser-ikali imeshajadiliana na wazalishaji ambao wako tayari kusafirisha.”Kuna bidhaa zingine bado tuna-jadiliana na wazalishaji sitaziweka wazi lakini kwa ujumla tuko tayari kuingia na bidhaa 10 kwenye soko hili Kuanzia Julai Mosi mwaka huu, tunaendelea kuelezana kinachohitaji-kana vitu vya kuzingatia kutoka kwa wazalishaji wetu wa ndani.

“Niwahakikishie wazalishaji wetu wa viwandani na wale wa bidhaa zingine kwamba Serikali iko tayari na vikao hivi ni endelevu tutaendelea kupeana taarifa na kama alivyosema Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Su-luhu Hassan kwamba tusiwe wasin-dikizaji,” alisisitiza.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa CTI, Leodeger Ten-ga, aliomba serikali kupunguza au kuondoa kodi kwa malighafi zin-azotoka ne ya nchi kwa ajili ya ku-saidia uzalishaji wa bidhaa mbalim-bali nchini. “Lazima tuwe waangalifu sana kwa viwanda vyetu vya ndani, una-posema soko huru unaweza kukuta wewe unageuzwa soko la bidhaa za wenzako kama hukutengenezwa mazingira mazuri kwa watu wako wa ndani kuzalisha bidhaa nzuri na kwa bei nafuu,” alisema Tenga.

Alisema kikao hicho kimekuwa na manufaa makubwa kwao kwa sababu wamepata fursa ya kuelezea changamoto zao katika mazingira ya biashara.”Imekuwa nafasi nzuri kwa wenve viwanda na wafanyabiashara kui-shukuru serikali kwa mambo mema ambayo imefanya ambayo yako mengi na kukumbushana mengine ambayo bado yanahitaji kufanyiwa kazi,” alisema.
Alisema changamoto nyingi zilizokuwa zikiwakabili wafanya-biashara zimefanyiwa kazi na seri-kali licha ya chache kubaki ambazo waliomba zifanyiwe kazi kupitia waziri huyo na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba.

Tag:#economics #market #afcfta

  • Share:
Penina Yohana

Penina is a journalist working with multiple newsletters, She is more interested in trade and development. She can be found with the number +255 714 038 256

Previous post

Infrastructure key to the realization of the African Continental Free Trade Area
February 14, 2023

Next post

This is why Run-away purchase prices should worry every Tanzania.
February 15, 2023

You may also like

WhatsApp Image 2025-01-15 at 12.31.35
CALL FOR CONSULTANCY SERVICE
January 16, 2025
210525144858-assimi-goita-file-2020-super-tease
Statement: A Peaceful, Freer and Prosperous Africa can Defeat Coups- African Think Tanks
September 17, 2023
lberty-26
Christian Or Muslim, Free Enterprises and Property Right is the key to End Poverty.
March 23, 2023

Leave A Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Search

MOST POPULAR

February 25, 2021
What Kombe’s saying about Business Regulations.
Read More
August 20, 2024
Impact of Cross-Border Conflicts on Trade in the East African Community
Read More
September 29, 2021
Idea Club for Emerging Leaders, recap for Saturday discussion.
Read More
September 12, 2022
Kwanini Tulalamike? NHIF inaweza Kuendelea Kuwepo?
Read More

RESEARCH & REPORT

Land Rights to Women in Tanzania Report

Land Rights to Women in Tanzania Report

In many parts of Sub-Saharan Africa, women, despite being...

Improved Economic Freedom Report 2022.

Improved Economic Freedom Report 2022.

Introduction Fraser Institute report (2021), the index published in...

Trading Across Borders: Implications & Policy Recommendations in Tanzania 2022 report

Trading Across Borders: Implications & Policy Recommendations in Tanzania 2022 report

Tanzania achieved a lower-middle-income economy status in July 2020,...

Tanzania Tax Reform Proposal 2021-2022

Tanzania Tax Reform Proposal 2021-2022

The Government of Tanzania released a public notice to...

Starting Busines Report in Tanzania 2021-2022

Starting Busines Report in Tanzania 2021-2022

Doing Business measures aspects of business regulation affecting small...

Global Alcohol Strategic Report

Global Alcohol Strategic Report

This paper in response to combatting paternalistic lifestyle regulations...

FEATURED ANALYSIS

Infrastructure Diplomacy in East Africa: The New Face of Regional Power and Influence

Infrastructure Diplomacy in East Africa: The New Face of Regional Power and Influence

Why It Matters Kenya’s renewed plan to extend its...

If It Actually Works, Africa’s New Trade Route Could Be a Lifeline for Trade

If It Actually Works, Africa’s New Trade Route Could Be a Lifeline for Trade

By Muoki Musila   Hope in the Skies, but...

Will Africa’s PAPSS Survive the Coming Digital Currency Wars?

Will Africa’s PAPSS Survive the Coming Digital Currency Wars?

Keeping Pace with China’s Digital Blitzkrieg The global financial...

Kenya at the Crossroads of China, the U.S., and Africa amidst Global Tarde Realignments

Kenya at the Crossroads of China, the U.S., and Africa amidst Global Tarde Realignments

Charm Offensive in China Kenya’s President Ruto was busy...

East Africa Must Embrace Free Market Reforms Now

East Africa Must Embrace Free Market Reforms Now

  Growth towards Economic Freedom As East Africa aspires...

The Single African Market Won’t Work Without these Localized Moyale Moments.

The Single African Market Won’t Work Without these Localized Moyale Moments.

      By Musila Muoki Streamlining Border Trade...

East Africa’s Brightest Sectors Are Being Left Out of Credential Recognition Frameworks

East Africa’s Brightest Sectors Are Being Left Out of Credential Recognition Frameworks

    By Musila Muoki Mutual Recognition of Expertise...

Cross Border Agricultural Trade in Tanzania 2025 Report

Cross Border Agricultural Trade in Tanzania 2025 Report

Introduction Liberty Sparks is a research-oriented think tank committed...

JOIN OUR NEWSLETTER

Stay connected with what our team is accomplishing; subscribe today and get the full report and updates, straight to your inbox, every month.
You may also receive information and direct marketing from us, but you may update your preferences at any time.

Liberty Sparks

  • Kunduchi, Mtongania
    Jiwe gumu Road
  • Dar es Salaam, Tanzania
  • T +255 736 164 141
Facebook Twitter Youtube Instagram Linkedin Google-plus-g

A Freer, Flourishing Society

About

  • Our Story
  • Our People
  • What we do
  • Jobs & Internships
  • Annual Reports & Financials
  • FAQs
  • Contact
  • Our Story
  • Our People
  • What we do
  • Jobs & Internships
  • Annual Reports & Financials
  • FAQs
  • Contact

Awards

  • Grants
  • Awards
  • FAQs
  • Grants
  • Awards
  • FAQs

Events

Training

  • Overview
  • Certifications
  • Upcoming Courses
  • Think Tank Shark Tank
  • FAQs
  • Overview
  • Certifications
  • Upcoming Courses
  • Think Tank Shark Tank
  • FAQs

COPYRIGHT © 2023 LIBERTY SPARKS

Login with your site account

Lost your password?

Not a member yet? Register now

Register a new account

Are you a member? Login now