Tanzania na Kenya zimefanikiwa kuondoa vikwazo 12 vya biashara visivyo vya kikodi vilivyokuwa vinatumika kwa miongo kadhaa baina ya nchi hizo mbili. Hadi sasa jumla ya vikwazo vilivyoondolewa ni 42 kati ya 64, huku vikwazo 30 vikiwa vimeondolewa kwenye mkutano …